iqna

IQNA

Kimbunga cha Al Aqsa
Jinai za Israel
IQNA - Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa ameeleza kusikitishwa kwake na ukatili ambao utawala wa Israel imekuwa ukitekelezwa kwa miezi kadhaa vita vyake vya mauaji ya kimbari dhidi ya Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478435    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/01

Jinai za Israel
IQNA-Ripota wa Umoja wa Mataifa anasema utawala wa Kizyuni wa Israel unatumia njaa kama silaha dhidi ya watu Wapalestina wa Gaza ambao wanakabiliwa na mgogoro mkubwa wa chakula baada ya miaka ya vikwazo na vita vya sasa vya maangamizi ya umati vinavyotekelezwa na Israel.
Habari ID: 3478241    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/23

Jinai za Israel
IQNA - Wapiga kura wa Marekani wamehimizwa kuandika "Sitisha Vita Gaza" kwenye kura zao wakati wa kuchagua wagombea wa uchaguzi wa rais wa mwezi Novemba ikiwa ni njia ya kubainisha malalamiko kuhusu jinsi Joe Biden alivyoshughulikia vita vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Gaza.
Habari ID: 3478238    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/23

Jinai za Israel
IQNA-Utawala wa Kizayuni wa Israel umewauwa maprofesa 94 wa vyuo vikuu, mamia ya walimu, na maelfu ya wanafunzi katika Ukanda wa Gaza katika muda wa miezi mitatu, kwa mujibu wa shirika moja huru la kutetea haki za binadamu.
Habari ID: 3478233    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/22

Wizara ya Elimu ya Palestina imetangaza kuwa, tangu kuanza mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gza na Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan mnamo Oktoba 7 2023 hadi mwanzo wa mwaka wa 2024; Wanafunzi 4156, walimu 321 na wafanyakazi wa shule wameuawa shahidi.
Habari ID: 3478230    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/22

Mwanaharakati wa Kuwait
IQNA - Mwanaharakati mmoja wa Kuwait alielezea hali ya sasa ya Palestina na vita vya mauaji ya halaiki vinavyoendeshwa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ghaza kuwa ni fedheha kwa nchi zinazodai kuwa watetezi wa haki za binadamu.
Habari ID: 3478223    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/20

Watetezi wa Palestina
IQNA-Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamuu ya Iran amesema kuwa, kadhia ya Palestina imegeuka na kuwa kadhia ya kwanza ya jamii ya mwanadamu ulimwenguni.
Habari ID: 3478198    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/14

Watetezi wa Palestina
IQNA-Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina, Hamas, amesema utawala haramu wa Israel umeshindwa kufikia malengo yake yoyote baada ya takriban siku 100 za vita vya mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478183    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/11

Watetezi wa Palestina
IQNA - Mkutano wa kimataifa umepangwa kufanyika Tehran wikendi hii kutangaza mshikamano na Wapalestina wa Ukanda wa Gaza, ambao wamekuwa chini ya mashambulizi yasiyo na kikomo ya utawala haramu Israel kwa zaidi ya miezi mitatu.
Habari ID: 3478181    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/11

Kadhia ya Palestina
IQNA-Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hatimaye limepitisha azimio kuhusu jinai za Israel dhidi ya Gaza, likidai kuongezwa kwa misaada katika eneo lililozingirwa lakini lakini limeshindwa kuulazimisha utawala haramu wa Israel usitishe vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika eneo hilo.
Habari ID: 3478078    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/23

Mapambano ya Wapalestina
IQNA - Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) ya Palestina, Hamas, Ismail Haniya amesisitiza uthabiti na azma la harakati hiyo katika kuendeleza mapambano ya kupigania ukombozi wa Palestina.
Habari ID: 3478066    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/20

Watetezi wa Palestina
IQNA-Wapiganaji wa harakati ya Mapambano ya Kiislamu (muqawama) ya Hizbullah ya Lebanon wameendelea na mashambulizi yao dhidi ya ngome za kijeshi la utawala haramu Israel karibu na mpaka kati ya Lebanon na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu (Israel), kujibu vita vya utawala huo haramu wa Israel dhidi Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3478048    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/17

Matukio ya Palestina
IQNA- Afisa wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa, asilimia 50 ya wakazi wa eneo la Palestina la Ukanda wa Gaza linalokaliwa kwa mabavu wapo hatari ya kupoteza maisha kutokana na makali ya njaa.
Habari ID: 3478039    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/15

Watetezi wa Palestina
IQNA- Khatibu wa muda wa Sala ya Ijumaa ya leo hapa mjini Tehran amesema Operesheni ya Kimbunga cha Al-Aqsa na muqawama au wanamapambano wa Kiislamu wa Wapalestina wa Gaza vimefichua kuwepo nidhamumifumo na miundo kadhaa ya kisiasa duniani, sambamba na kuonyesha kuwepo stratejia mpya ya kambi ya muqawama katika eneo.
Habari ID: 3478038    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/15

Matukio ya Palestina
IQNA- Idara ya Habari ya Serikali ya Gaza imeripoti kwamba asilimia 61 ya nyyumba za raia wa Kipalestina huko Ukanda wa Gaza zimebomolewa katika vita vya maangamizi ya umati vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa eneo hilo lilolozingirwa.
Habari ID: 3478026    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/12

Watetezi wa Palestina
DOHA – IQNA: Muungano wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (IUMS) umetoa wito wa kufanyika maandamano na mikutano kote duniani Ijumaa hii kuunga mkono Wapalestina wanakandamizwa Gaza na Msikiti wa Al-Aqsa mjini Quds (Jerusalem) sambamba na kulaani utawala wa dhalimu wa Israel.
Habari ID: 3478000    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/07

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Huku vita vya maangamizi ya kimbari vya utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Gaza vikiendelea, maafisa wa Palestina wanasema ndege za kivita za utawala huo zimelenga maeneo ya karibu na mji wa Khan Yunis kwa kutumia mabomu ya fosforasi ambayo yanakatzwa kwa mujibu wa sheria za kimataifa.
Habari ID: 3477988    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/05

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Naibu Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema watu wa Palestina wataibuka katika vita dhidi ya Gaza wakiwa na nguvu zaidi kuliko hapo awali.
Habari ID: 3477980    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/03

Jinai za Israel
OTTAWA (IQNA) - Zaidi ya waandamanaji 100 Waislamu walikusanyika karibu na ubalozi wa Israel katika mji mkuu wa Marekani siku ya Ijumaa na kusali sala ya Ijumaa hapo sambamba na kulaani mashambulizi yanayoendelea ya utawala haramu wa Israel kwenye Ukanda wa Gaza.
Habari ID: 3477973    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/02

Jinai za Israel
TEHRAN (IQNA)- Kuanzia jana subuhi Ijuumaa, na mara baada ya kumalizika muda wa kusimamisha vita, utawala wa Kizayuni umeendeleza mauaji ya kikatili kupindukia dhidi ya wananchi wa Ghaza huko Palestina wanaoendelea kuzingirwa kila upande.
Habari ID: 3477972    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/02